UKITAKA KUANZISHA BIASHARA FANYA YAFUATAYO

Na.Cornelius F.Shija@Cfjmedia.
Leo 02,October,2018 nakukutanisha na Mwalimu na Mjasiriamali Mailande A. Mpemba kutokea taasisi ya Angaza na Maendeleo, akizungumzia namna ya kuanzisha biashara yako ambayo umekuwa ukiitamani.

Mailande amesema akiwa katika kipindi cha Angaza na maendeleo kupitia Kwaneema fm(98.1) Mwanza leo asubuhi jumanne
TAZAMA VIDEO HAPA CHINI : 

0 Comments:

Post a Comment