Baada ya Ibaada ya nyumbani
waombolezaji wote waliekea katika makaburi ya kirumba kanisani
wakiongozwa na waziri wa nyumba na maendeleo ya makazi Bi Angelina mabula pamoja na wanafamilia kwa ujumla.
waombolezaji wote waliekea katika makaburi ya kirumba kanisani
wakiongozwa na waziri wa nyumba na maendeleo ya makazi Bi Angelina mabula pamoja na wanafamilia kwa ujumla.
Picha:Kwaniaba ya familia Mzee Peter Madaha Segeja amewashukru watu wote waliofika nyumbani hapo kwa
ajili ya maombolezo ya siku 40 ya Marehemu.Julius Kakono Mabula.
|
0 Comments:
Post a Comment