Leo tarehe 20.June Mwenyekiti wa Mtaa wa Nyashana Nyamagana Mwanza Mh. Twega Sai amewatoa wasiwasi wananchi wa Maeneo yake kuhusu kuwepo kwa taarifa za jeshi la wananchi JWTZ kukwamisha zoezi la upimaji na urasimishaji wa viwanja kuwa si kweli, bali wajiandae na zoezi hilo kuanzia 28.June
Picha:Mmoja wa Wananchi Bw.Hamza amepongeza zoezi hilo na kuwataka wananchi wote waitikie zoezi hilo.
0 Comments:
Post a Comment