Kupitia ujumbe wake alioutuma katika ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Twitter, ameandika yafuatayo juu ya ajali hiyo
“Kwa niaba yangu na wananchi wa Kenya, natuma salamu za rambirambi kwa ndugu yangu Rais Magufuli pamoja na majirani zetu raia wa Tanzania katika kipindi hiki kigumu kufuatia ajali ya kivuko cha MV Nyerere kilichozama Ziwa Victoria. ” amesema.
0 Comments:
Post a Comment