BREAKING NEWS: KIVUKO CHA MV. NYERERE KIMEZAMA KIKIWA NA ABIRIA


Taarifa iliyotufikia muda huu kutoka mkoani Mwanza ni kuwa Kivuko cha MV Nyerere kinachofanya safari zake kati ya Bugorara na kisiwa cha Ukara  wilayani ukerewe katika ziwa Victoria kimezama huku taarifa zikidai kilikuwa na watu 500 waliokuwemo ndani ya kivuko hicho  tarifa za watu waliozama mpaka sasa hazijatufikia.

0 Comments:

Post a Comment