TFDA YAOMBA USHIRIKIANO:


Picha:Kaimu Mkurugenzi mkuu (kulia)Agness Sitta Kijo akizungumza na Dotto Bulendu Mtangazaji wa kipindi cha Tujadiliane

Na.Cornelius F.Shija@Cfjmeiatz.
Mamlaka ya chakula na dawa (TFDA) imesema wananchi wanatakiwa kuwa msitari wa mbele kufichua taarifa  za baadhi ya wafanyabiashara wanaouza bidhaa ambazo hazijakidhi viwango  na bidhaa zinazoingizwa bila kufuata utaratibu kutokea mamlaka hiyo
Hayo yamesemwa na Kaimu mkurugenzi Mkuu wa mamlaka ya chakula na dawa Agnee Sitta Kijo wakati akizungumza na umoja wa club ya wandishi  wa habari Tanzania kutoka vyombo mbalimbali (UTPC) mazungumzo hayo yamefanyika 11.July.2018 katika mandalizi ya kipindi kinachokuwa kinrushwa kila baada ya mwezi mmoja katika radio mbalimbali

Kijo amesema kuwa baadhi ya wananchi wasiwe na tabia ya kuona kamamamlaka ipo kwa ajili ya kuwanyanyasa wafanyabiashara, bali wanalengo la kuhakikisha  bihaa zote zinazoingia sokoni ziwe na viwango pamoja na ubora kwa kushirikiana na shirika la viwango Tanzania (TBS) Kwa kutimiza sheria ya chakula na dawa ya 2003 sura namba 219
Picha:Wandishi wa Habari katika mandalizi ya kipindi





















Picha :Muonekano katika picha ya pamoja baada ya mandalizi ya kipindi


















0 Comments:

Post a Comment