Picha:Mkurugenzi wa uraghbishi(TACAIDS) Jumanne Issando |
Na.Cornelius f.Shija@CFJMEDIA.
Tume ya kupambana na kuzuia
mambukizi ya virusi vya Ukimwi Tanzania bara (TACAIDS) wameendesha Mkutano na
wanahabari kutoka radio mbalimbali za kijamii(Community radios) Lengo ni kutoa
habari ya juu ya utafiti wa kitaifa wa viashiria na matokeo ya UKIMWI kwa
2016/2017(THIS)Tanzania HIV Investigation search
Akizungumza mgeni rasimi Mr.Jumanne Issando Mkurugenzi uraghbishi kutoka Tacaids amegusia juu ya kampeini ya FURAHA YANGU iliyozinduliwa 19 June 2018 na Waziri mkuu Kasimu Majaliwa Jijini Dodoma na kuwakumbusha wanaume kuitikia wito wa kupima afya na kutambua hali zao kwani ni wanaume 44 pekee katika asilimia mia ndiyo wanatambua hali zao
Kutokana na takwimu zilizofanywa
na ofisi ya tafiti ya taifa NBS Huu ni
utafiti wa awamu ya nne ambao pia utatumika kwa miaka mine ili kufikia 90, 90,
90, ambapo tisini ya kwanza ni wanaoishi na vvu na kutoa taarifa kuwa
wanamambukizi ya vvu,Tisini ya pili ni walio kwenye matibabu na waliotoa
taarifa kuwa wanatumia dawa za kufubaza makali ya vvu (ARV,ARV) Na Tisini ya
tatu ni asilimia ya kufubazwa kwa vvu.
Aidha Jumanne Issando Taarifa za utafiti wa 2016/2017 zinaonyesha
kuwa kiwango cha mambukizi ya virusi vya ukimwi
ni asilimia 4.7 kitaifa ambapo wanawake ni asilimia 5.0 na wanaume 6.5
ya maambuzi yaote, hata hivyo watu wanasisitzwa kujitokeza kupma mapema
ilikupunguza idadi ya mambukizi mapya kwani
kati ya watu waliopima ukimwi asilimia 52 waanajua hali zao na asilimia
42 hawajui hali zao.
Picha:Wandishi wa habari kutoka Radio za kijamii kwenye mkutano wa (TACAIDS) |
0 Comments:
Post a Comment