![]() | ||
Picha:Mkurugenzi mkazi (YUHOMA)kanda ya ziwa Yusuph Yahaya |
Taasisi ya ambayo inajishughulisha na kuwatafutia wanafunzi vyuo vikuu nje ya nchi ya Yuhoma Education Limited(YEL) yenye makao makuu Jijini Mwanza katika jengo la Nyanza Gorofa ya pili katika chumba No.204 Barabara ya Kenyatta, I,etoa elimu kwa wanafunzi pamoja na vifaa vya michezo kwa wanafunzi wa shule ya Sekondari Butimba kutwa na shule ya Sekondari Kangae kwa lengo la kuunga juhudi za Serkali ya awamu ya tano kwenye michezo na kutatua changamoto za wanafunzi hao
Taasisi hiyo imewapatia wanafunzi wa Shule ya Kangae sekondari pamoja na Butimba Sekondari Jezi pamoja na mipira ya mchezo wa miguu.
![]() |
Picha: Mwanafunzi Salum Hamis kidato cha pili kutoka Shule ya sekondari Kangae aliyeshinda zawadi ya kiasi cha Pesa shilingi Elfu kumi kutoka kwa Mkurugenzi baada ya kupiga Danadana mia moja |
TAZAMA VIDEO HAPA CHINI NIMEKUWEKEA
0 Comments:
Post a Comment