Picha;Pastor Zakayo akiongea na mkewe Carol Nzogere |
Na.cornelius Shija@CFJMEDIATZ.
Mchungaji wa kanisa la MICC T.A.G Zakayo Nzogere asherekea siku ya madhimisho ya tamasha la shukrani kwa mungu kwa kutimiza miaka 18 ya ndoa yake sherehe hiyo imefanyika kanisani hapo maeneo ya kona ya Nyegezi.
Picha;Familia ya Pastor Zakayo wakiwa Madhabahuni
|
0 Comments:
Post a Comment