SHUHUDIA HARUSI YA MTANGAZAJI WA KWANEEMA FM MWANZO MWISHO;



Na.Cornelius F.Shija@Cfjmedia
Mtangazaji wa Kwanema fm Radio Godwin Deus maarufu kama "Brother G" hatimaye ameuaga ujana baada ya kuingia rasmi katika ndoa na Mwana dada ambaye ni mtangazaji kutoka Tarime( Mara) Catherine Mniko.

Ndoa hiyo imefungwa tarehe 14.10.2018 katika kanisa la E.A.G.T. HEBRON NYAKABUNGO na baadae sherehe ikafanyika katika ukumbi wa BELMONT FAIRMOUNT HOTEL(JB).
TAZAMA  VIDEO ILIVYOKUWA  HAPA CHINI:

0 Comments:

Post a Comment