Skip to content
MBEYA: Jeshi la Polisi limeutaarifu umma wa Watanzania kuwa halihusiki
kwa namna yoyote na kifo cha kijana Allen Mapunda(20) anayedaiwa
kufariki saa chache baada ya kutoka Kituo cha Polisi.
-
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Mohammed Mpinga amewaambia Wanahabari
kuwa, Jeshi hilo limeanza kufanya uchunguzi...
0 Comments:
Post a Comment